Lugha zingine
Usije Ukajuta
44 kurasa.

Lengo la kitabu hiki ni kuwaonya watu kwa siku ambayo watajuta wakisema” Laiti tungefahamu...,” “Laiti hatungekadhibisha aya za Mola wetu...,” “Laiti tungeliwafuata wale waliotuletea ujumbe...,” “Laiti tungelifanya hili au lile” n.k lengo pia ni kuwaita watu waishi maisha kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kama wangali hai ili warekebishe makosa yao.

Ni lazima kufahamu vyema kwamba majuto siku hiyo hayatamkinga mtu yeyote na hasira ya Mwenyezi Mungu. Njia pekee ya kuepukana na majuto hayo ni kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu kama wakati bado upo na kufuata maamrisho ya Mwenyezi Mungu.

Kitabu hiki ni cha kulingania kwa njia ya Allah na kukumbusha adhabu isiyoepukika katika maisha ya akhera siku ambayo hakuna pa kujificha wala kuokolewa. 


Usije Ukajuta
logo
logo
logo
logo
Usije Ukajuta