110. An-Nasr - Qurani
- 1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
- 2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
- 3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.