96. Al-`Alaq - Qurani
- 1. Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba,
- 2. Amemuumba binaadamu kwa tone la damu,
- 3. Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote!
- 4. Ambaye amefundisha kwa kalamu.
- 5. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui.
- 6. Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri
- 7. Akijiona katajirika.
- 8. Hakika kwa Mola wako Mlezi ndio marejeo.
- 9. Umemwona yule anaye mkataza