99. Az-Zalzalah - Qurani
- 1. Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
1. Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
3. Na mtu akasema: Ina nini?
4. Siku hiyo itahadithia khabari zake.
5. Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
6. Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
7. Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
8. Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!