Al-Fajr - QURAN - Harun Yahya
-
1. Naapa kwa alfajiri,
-
2. Na kwa masiku kumi,
-
3. Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja,
-
4. Na kwa usiku unapo pita,
-
5. Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
-
6. Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A`di?
-
7. Wa Iram, wenye majumba marefu?
-
8. Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?
-
9. Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
-
10. Na Firauni mwenye vigingi?
-
11. Ambao walifanya jeuri katika nchi?
-
12. Wakakithirisha humo ufisadi?
-
13. Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.
-
14. Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
-
15. Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!
-
16. Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!
-
17. Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
-
18. Wala hamhimizani kulisha masikini;
-
19. Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,
-
20. Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.
-
21. Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
-
22. Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
-
23. Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
-
24. Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!
-
25. Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.
-
26. Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.
-
27. Ewe nafsi iliyo tua!
-
28. Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.
-
29. Basi ingia miongoni mwa waja wangu,
-
30. Na ingia katika Pepo yangu.
SHIRIKI
1
Al-Fatihah
2
Al Baqara
3
Ali `Imran
4
An-Nisa
5
Al-Ma`idah
6
Al-An`am
7
Al-A`raf
8
Al-Anfal
9
At-Tawbah
10
Yunus
11
Hud
12
Yusuf
13
Ar-Ra`d
14
Ibrahim
15
Al-Hijr
16
An-Nahl
17
Al-Isra
18
Al-Kahf
19
Maryam
20
Taha
21
Al-Anbya
22
Al-Haj
23
Al-Mu`minun
24
An-Nur
25
Al-Furqan
26
Ash-Shu`ara
27
An-Naml
28
Al-Qasas
29
Al-`Ankabut
30
Ar-Rum
31
Luqman
32
As-Sajdah
33
Al-Ahzab
34
Saba
35
Faatir
36
Ya-Sin
37
As-Saffat
38
Sad
39
Az-Zumar
40
Ghafir
41
Fussilat
42
sh-Shuraa
43
Az-Zukhruf
44
Ad-Dukhan
45
Al-Jathiyah
46
Al-Ahqaf
47
Muhammad
48
Al-Fath
49
Al-Hujurat
50
Qaf
51
Adh-Dhariyat
52
At-Tur
53
An-Najm
54
Al-Qamar
55
Ar-Rahman
56
Al-Waqi`ah
57
Al-Hadid
58
Al-Mujadila
59
Al-Hashr
60
Al-Mumtahanah
61
As-Saf
62
Al-Jumu`ah
63
Al-Munafiqun
64
At-Taghabun
65
At-Talaq
66
At-Tahrim
67
Al-Mulk
68
Al-Qalam
69
Al-Haqqah
70
Al-Ma`arij
71
Nuh
72
Al-Jinn
73
Al-Muzzammil
74
Al-Muddaththir
75
Al-Qiyamah
76
Al-Insan
77
Al-Mursalat
78
An-Naba
79
An-Nazi`at
80
Abasa
81
At-Takwir
82
Al-Infitar
83
Al-Mutaffifin
84
Al-Inshiqaq
85
Al-Buruj
86
At-Tariq
87
Al-A`la
88
Al-Ghashiyah
89
Al-Fajr
90
Al-Balad
91
Ash-Shams
92
Al-Layl
93
Ad-Duhaa
94
Ash-Sharh
95
At-Tin
96
Al-`Alaq
97
Al-Qadr
98
Al-Bayyinah
99
Az-Zalzalah
100
Al-`Adiyat
101
Al-Qari`ah
102
At-Takathur
103
Al-`Asr
104
Al-Humazah
105
Al-Fil
106
Quraysh
107
Al-Ma`un
108
Al-Kawthar
109
Al-Kafirun
110
An-Nasr
111
Al-Masad
112
Al-Ikhlas
113
Al-Falaq
114
An-Nas