HARUN YAHYA
Swahili / Kiswahili
SW
QURAN
Al-Fajr
1. Naapa kwa alfajiri,
2. Na kwa masiku kumi,
3. Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja,
4. Na kwa usiku unapo pita,
5. Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
6. Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A`di?
7. Wa Iram, wenye majumba marefu?
8. Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?
9. Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
10. Na Firauni mwenye vigingi?
11. Ambao walifanya jeuri katika nchi?
12. Wakakithirisha humo ufisadi?
13. Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.
14. Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
15. Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!
16. Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!
17. Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
18. Wala hamhimizani kulisha masikini;
19. Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,
20. Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.
21. Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
22. Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
23. Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
24. Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!
25. Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.
26. Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.
27. Ewe nafsi iliyo tua!
28. Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.
29. Basi ingia miongoni mwa waja wangu,
30. Na ingia katika Pepo yangu.
SHIRIKI
1. Al-Fatihah
2. Al Baqara
3. Ali `Imran
4. An-Nisa
5. Al-Ma`idah
6. Al-An`am
7. Al-A`raf
8. Al-Anfal
9. At-Tawbah
10. Yunus
11. Hud
12. Yusuf
13. Ar-Ra`d
14. Ibrahim
15. Al-Hijr
16. An-Nahl
17. Al-Isra
18. Al-Kahf
19. Maryam
20. Taha
21. Al-Anbya
22. Al-Haj
23. Al-Mu`minun
24. An-Nur
25. Al-Furqan
26. Ash-Shu`ara
27. An-Naml
28. Al-Qasas
29. Al-`Ankabut
30. Ar-Rum
31. Luqman
32. As-Sajdah
33. Al-Ahzab
34. Saba
35. Faatir
36. Ya-Sin
37. As-Saffat
38. Sad
39. Az-Zumar
40. Ghafir
41. Fussilat
42. sh-Shuraa
43. Az-Zukhruf
44. Ad-Dukhan
45. Al-Jathiyah
46. Al-Ahqaf
47. Muhammad
48. Al-Fath
49. Al-Hujurat
50. Qaf
51. Adh-Dhariyat
52. At-Tur
53. An-Najm
54. Al-Qamar
55. Ar-Rahman
56. Al-Waqi`ah
57. Al-Hadid
58. Al-Mujadila
59. Al-Hashr
60. Al-Mumtahanah
61. As-Saf
62. Al-Jumu`ah
63. Al-Munafiqun
64. At-Taghabun
65. At-Talaq
66. At-Tahrim
67. Al-Mulk
68. Al-Qalam
69. Al-Haqqah
70. Al-Ma`arij
71. Nuh
72. Al-Jinn
73. Al-Muzzammil
74. Al-Muddaththir
75. Al-Qiyamah
76. Al-Insan
77. Al-Mursalat
78. An-Naba
79. An-Nazi`at
80. Abasa
81. At-Takwir
82. Al-Infitar
83. Al-Mutaffifin
84. Al-Inshiqaq
85. Al-Buruj
86. At-Tariq
87. Al-A`la
88. Al-Ghashiyah
89. Al-Fajr
90. Al-Balad
91. Ash-Shams
92. Al-Layl
93. Ad-Duhaa
94. Ash-Sharh
95. At-Tin
96. Al-`Alaq
97. Al-Qadr
98. Al-Bayyinah
99. Az-Zalzalah
100. Al-`Adiyat
101. Al-Qari`ah
102. At-Takathur
103. Al-`Asr
104. Al-Humazah
105. Al-Fil
106. Quraysh
107. Al-Ma`un
108. Al-Kawthar
109. Al-Kafirun
110. An-Nasr
111. Al-Masad
112. Al-Ikhlas
113. Al-Falaq
114. An-Nas