Al-Mutaffifin - QURAN - Harun Yahya
-
1. Ole wao hao wapunjao!
-
2. Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
-
3. Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.
-
4. Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa
-
5. Katika Siku iliyo kuu,
-
6. Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
-
7. Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
-
8. Unajua nini Sijjin?
-
9. Kitabu kilicho andikwa.
-
10. Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
-
11. Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
-
12. Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
-
13. Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
-
14. Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
-
15. Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
-
16. Kisha wataingia Motoni!
-
17. Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
-
18. Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I`liyyin.
-
19. Na nini kitakacho kujuvya nini I`liyyin?
-
20. Kitabu kilicho andikwa.
-
21. Wanakishuhudia walio karibishwa.
-
22. Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.
-
23. Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
-
24. Utatambua katika nyuso zao mng`aro wa neema,
-
25. Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,
-
26. Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
-
27. Na mchanganyiko wake ni Tasniim,
-
28. Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.
-
29. Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
-
30. Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
-
31. Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
-
32. Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
-
33. Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.
-
34. Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,
-
35. Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
-
36. Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?
SHIRIKI
1
Al-Fatihah
2
Al Baqara
3
Ali `Imran
4
An-Nisa
5
Al-Ma`idah
6
Al-An`am
7
Al-A`raf
8
Al-Anfal
9
At-Tawbah
10
Yunus
11
Hud
12
Yusuf
13
Ar-Ra`d
14
Ibrahim
15
Al-Hijr
16
An-Nahl
17
Al-Isra
18
Al-Kahf
19
Maryam
20
Taha
21
Al-Anbya
22
Al-Haj
23
Al-Mu`minun
24
An-Nur
25
Al-Furqan
26
Ash-Shu`ara
27
An-Naml
28
Al-Qasas
29
Al-`Ankabut
30
Ar-Rum
31
Luqman
32
As-Sajdah
33
Al-Ahzab
34
Saba
35
Faatir
36
Ya-Sin
37
As-Saffat
38
Sad
39
Az-Zumar
40
Ghafir
41
Fussilat
42
sh-Shuraa
43
Az-Zukhruf
44
Ad-Dukhan
45
Al-Jathiyah
46
Al-Ahqaf
47
Muhammad
48
Al-Fath
49
Al-Hujurat
50
Qaf
51
Adh-Dhariyat
52
At-Tur
53
An-Najm
54
Al-Qamar
55
Ar-Rahman
56
Al-Waqi`ah
57
Al-Hadid
58
Al-Mujadila
59
Al-Hashr
60
Al-Mumtahanah
61
As-Saf
62
Al-Jumu`ah
63
Al-Munafiqun
64
At-Taghabun
65
At-Talaq
66
At-Tahrim
67
Al-Mulk
68
Al-Qalam
69
Al-Haqqah
70
Al-Ma`arij
71
Nuh
72
Al-Jinn
73
Al-Muzzammil
74
Al-Muddaththir
75
Al-Qiyamah
76
Al-Insan
77
Al-Mursalat
78
An-Naba
79
An-Nazi`at
80
Abasa
81
At-Takwir
82
Al-Infitar
83
Al-Mutaffifin
84
Al-Inshiqaq
85
Al-Buruj
86
At-Tariq
87
Al-A`la
88
Al-Ghashiyah
89
Al-Fajr
90
Al-Balad
91
Ash-Shams
92
Al-Layl
93
Ad-Duhaa
94
Ash-Sharh
95
At-Tin
96
Al-`Alaq
97
Al-Qadr
98
Al-Bayyinah
99
Az-Zalzalah
100
Al-`Adiyat
101
Al-Qari`ah
102
At-Takathur
103
Al-`Asr
104
Al-Humazah
105
Al-Fil
106
Quraysh
107
Al-Ma`un
108
Al-Kawthar
109
Al-Kafirun
110
An-Nasr
111
Al-Masad
112
Al-Ikhlas
113
Al-Falaq
114
An-Nas