• 1. Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?

  • 2. Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?

  • 3. Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,

  • 4. Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,

  • 5. Akawafanya kama majani yaliyo liwa!