81. At-Takwir - Qurani
- 1. Jua litakapo kunjwa,
- 2. Na nyota zikazimwa,
- 3. Na milima ikaondolewa,
- 4. Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,
- 5. Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,
- 6. Na bahari zikawaka moto,
- 7. Na nafsi zikaunganishwa,
- 8. Na msichana aliye zikwa hai atapo ulizwa,
- 9. Kwa kosa gani aliuliwa?
- 10. Na madaftari yatakapo enezwa,