78. An-Naba - Qurani
- 1. WANAULIZANA nini?
- 2. Ile khabari kuu,
- 3. Ambayo kwayo wanakhitalifiana.
- 4. La! Karibu watakuja jua.
- 5. Tena la! Karibu watakuja jua.
- 6. Kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?
- 7. Na milima kama vigingi?
- 8. Na tukakuumbeni kwa jozi?
- 9. Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?
- 10. Na tukaufanya usiku ni nguo?